1 Sam. 17:49 Swahili Union Version (SUV)

Daudi akatia mkono wake mfukoni, akatwaa humo jiwe moja, akalitupa kwa kombeo lake, akampiga Mfilisti katika kipaji cha uso; jiwe hilo likamwingilia kipajini, akaanguka chini kifudifudi.

1 Sam. 17

1 Sam. 17:47-55