1 Sam. 17:45 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Daudi akamwambia yule Mfilisti, Wewe unanijia mimi na upanga, na fumo, na mkuki, bali mimi ninakujia wewe kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli uliowatukana.

1 Sam. 17

1 Sam. 17:42-46