1 Sam. 17:39 Swahili Union Version (SUV)

Naye Daudi akajifunga upanga juu ya mavazi yake, akajaribu kwenda; maana alikuwa hajavijaribu. Daudi akamwambia Sauli, Siwezi kwenda na vitu hivi, maana sikuvijaribu. Basi Daudi akavivua.

1 Sam. 17

1 Sam. 17:36-48