1 Sam. 17:37 Swahili Union Version (SUV)

Daudi akasema, BWANA aliyeniokoa na makucha ya simba, na makucha ya dubu, ataniokoa na mkono wa Mfilisti huyu. Sauli akamwambia Daudi, Enenda, na BWANA atakuwa pamoja nawe.

1 Sam. 17

1 Sam. 17:29-41