1 Sam. 17:23 Swahili Union Version (SUV)

Hata alipokuwa akisema nao, kumbe! Yule shujaa alitokea, yule Mfilisti wa Gathi, jina lake Goliathi, akitoka katika jeshi la Wafilisti, akasema maneno yale yale; naye Daudi akayasikia.

1 Sam. 17

1 Sam. 17:19-25