1 Sam. 15:32 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Samweli akasema, Nileteeni hapa Agagi, mfalme wa Waamaleki. Basi Agagi akamwendea kwa utepetevu. Naye Agagi akasema, Bila shaka uchungu wa mauti umeondoka.

1 Sam. 15

1 Sam. 15:25-35