1 Sam. 15:3 Swahili Union Version (SUV)

Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng’ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Sam. 15

1 Sam. 15:1-10