1 Sam. 14:39 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana, aishivyo BWANA, awaokoaye Israeli, ijapokuwa i katika Yonathani, mwanangu, kufa atakufa. Lakini miongoni mwa watu wote hakuna mtu ye yote aliyemjibu.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:34-49