1 Sam. 14:37 Swahili Union Version (SUV)

Basi Sauli akataka shauri kwa Mungu, Je! Nishuke ili kuwafuatia Wafilisti? Je! Utawatia mikononi mwa Israeli? Lakini hakumjibu neno lo lote siku ile.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:32-38