1 Sam. 14:32 Swahili Union Version (SUV)

Basi watu wakazirukia zile nyara, wakatwaa kondoo, na ng’ombe, na ndama, na kuwachinja papo hapo juu ya nchi, nao wale watu walikuwa wakiwala pamoja na damu.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:31-39