1 Sam. 14:26 Swahili Union Version (SUV)

Na hapo watu walipokwisha kuingia mwituni, tazama, hiyo asali ilikuwa ikidondoka; walakini hakuna mtu hata mmoja aliyetia mkono wake kinywani; kwa sababu hao watu walikuwa wakikiogopa kile kiapo.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:16-34