1 Sam. 14:17 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Sauli akawaambia watu waliokuwa pamoja naye, Haya! Hesabuni sasa, mkaone ni nani aliyeondoka kwetu. Nao walipokwisha hesabu, tazama Yonathani na yeye aliyechukua silaha zake hawapo.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:10-18