1 Sam. 14:13 Swahili Union Version (SUV)

Basi Yonathani akapanda kwa mikono na miguu yake, na mchukua silaha nyuma yake; na hao watu wakaanguka mbele ya Yonathani; na huyo mchukua silaha zake akawaua nyuma yake.

1 Sam. 14

1 Sam. 14:7-14