1 Sam. 13:15 Swahili Union Version (SUV)

Basi Samweli akaondoka, akapanda kutoka Gilgali mpaka Gibea ya Benyamini. Naye Sauli akawahesabu watu waliokuwapo pamoja naye, wapata kama mia sita.

1 Sam. 13

1 Sam. 13:6-23