1 Sam. 13:12 Swahili Union Version (SUV)

basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa.

1 Sam. 13

1 Sam. 13:9-13