1 Sam. 12:17 Swahili Union Version (SUV)

Leo je! Si mavuno ya ngano? Nitamwomba BWANA, kwamba apeleke ngurumo na mvua; nanyi mtajua na kuona ya kuwa uovu wenu ni mwingi sana, mlioufanya machoni pa BWANA, kwa kujitakia mfalme.

1 Sam. 12

1 Sam. 12:10-25