1 Sam. 12:10 Swahili Union Version (SUV)

Nao wakamlilia BWANA, wakasema, Tumefanya dhambi, kwa kuwa tumemwacha BWANA, na kuwatumikia Mabaali na Maashtorethi; lakini sasa utuokoe na mikono ya adui zetu, nasi tutakutumikia wewe.

1 Sam. 12

1 Sam. 12:6-17