1 Sam. 11:5 Swahili Union Version (SUV)

Na tazama, Sauli akaja akifuata ng’ombe kutoka kondeni; naye Sauli akauliza, Watu hawa wana nini, hata wakalia? Wakamwambia maneno ya watu wale wa Yabeshi.

1 Sam. 11

1 Sam. 11:1-11