1 Sam. 11:2 Swahili Union Version (SUV)

Huyo Nahashi, Mwamoni, akawaambia, Kwa sharti hii mimi nitapatana nanyi, kila mtu ang’olewe jicho la kuume; na kwa jambo hilo nitawashutumu Waisraeli wote pia.

1 Sam. 11

1 Sam. 11:1-12