1 Sam. 10:25 Swahili Union Version (SUV)

Kisha Samweli aliwaambia watu madaraka ya ufalme, akayaandika katika kitabu, akakiweka mbele za BWANA. Samweli akawaruhusu watu wote, waende kila mtu nyumbani kwake.

1 Sam. 10

1 Sam. 10:24-27