1 Sam. 10:18 Swahili Union Version (SUV)

akawaambia wana wa Israeli, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Naliwatoa Israeli kutoka Misri, nami naliwaokoa ninyi na mikono ya Wamisri, na ya falme zote zilizowaonea;

1 Sam. 10

1 Sam. 10:14-21