1 Sam. 10:14 Swahili Union Version (SUV)

Basi babaye mdogo akamwuliza Sauli na mtumishi wake, Je! Mlikwenda wapi? Naye akajibu, Tulikwenda ili kuwatafuta hao punda; na tulipoona ya kwamba hawakuonekana, tulimwendea Samweli.

1 Sam. 10

1 Sam. 10:7-15