1 Sam. 1:2 Swahili Union Version (SUV)

naye alikuwa na wake wawili; jina lake mmoja akiitwa Hana, na jina lake wa pili aliitwa Penina; naye huyo Penina alikuwa na watoto, lakini Hana hakuwa na watoto.

1 Sam. 1

1 Sam. 1:1-10