1 Nya. 9:40-44 Swahili Union Version (SUV)

40. Na mwana wa Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.

41. Na wana wa Mika; Pithoni, na Meleki, na Tarea.

42. Na Ahazi akamzaa Yara; na Yara akamzaa Alemethi, na Azmawethi, na Zimri; na Zimri akamzaa Mosa;

43. na Mosa akamzaa Binea; na mwanawe huyo alikuwa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli;

44. naye Aseli alikuwa na wana sita, ambao majina yao ni haya; Azrikamu, na Bokeru, na Ishmaeli, na Shearia, na Obadia, na Hanani. Hao wote walikuwa wana wa Aseli

1 Nya. 9