1 Nya. 9:33 Swahili Union Version (SUV)

Tena hawa ndio waimbaji, wakuu wa mbari za baba zao katika Walawi, ambao walikaa vyumbani, kisha walikuwa hawana kazi nyingine; kwa kuwa walitumika katika kazi yao mchana na usiku.

1 Nya. 9

1 Nya. 9:30-39