31. na Gedori, na Ahio, na Zekaria,
32. Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.
33. Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.
34. Na mwanawe Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.
35. Na wana wa Mika; Pithoni, na Meleki, na Tarea, na Ahazi.