1 Nya. 8:31-35 Swahili Union Version (SUV)

31. na Gedori, na Ahio, na Zekaria,

32. Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.

33. Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.

34. Na mwanawe Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.

35. Na wana wa Mika; Pithoni, na Meleki, na Tarea, na Ahazi.

1 Nya. 8