1 Nya. 8:24-34 Swahili Union Version (SUV)

24. na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;

25. na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.

26. Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;

27. na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu.

28. Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.

29. Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;

30. na mwanawe, mzaliwa wake wa kwanza, alikuwa Abdoni, na Suri, na Kishi, na Baali, na Nadabu;

31. na Gedori, na Ahio, na Zekaria,

32. Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.

33. Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.

34. Na mwanawe Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.

1 Nya. 8