1 Nya. 8:16-26 Swahili Union Version (SUV)

16. na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.

17. Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;

18. na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.

19. Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;

20. na Elienai, na Silethai, na Elieli;

21. na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.

22. Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;

23. na Abdoni, na Zikri, na Hanani;

24. na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;

25. na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.

26. Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;

1 Nya. 8