13. na Beria, na Shema, waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Aiyaloni, wale ambao waliwakimbiza wenyeji wa Gathi.
14. Na Ahio, na Ghashaki, na Yeremothi;
15. na Zebadia, na Aradi, na Ederi;
16. na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.
17. Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;
18. na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.
19. Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;
20. na Elienai, na Silethai, na Elieli;
21. na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.