1 Nya. 8:12-22 Swahili Union Version (SUV)

12. Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;

13. na Beria, na Shema, waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Aiyaloni, wale ambao waliwakimbiza wenyeji wa Gathi.

14. Na Ahio, na Ghashaki, na Yeremothi;

15. na Zebadia, na Aradi, na Ederi;

16. na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.

17. Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;

18. na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.

19. Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;

20. na Elienai, na Silethai, na Elieli;

21. na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.

22. Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;

1 Nya. 8