1 Nya. 8:11-29 Swahili Union Version (SUV)

11. Naye alikuwa amezaliwa na Hushimu, Abitubu, na Elpaali.

12. Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;

13. na Beria, na Shema, waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Aiyaloni, wale ambao waliwakimbiza wenyeji wa Gathi.

14. Na Ahio, na Ghashaki, na Yeremothi;

15. na Zebadia, na Aradi, na Ederi;

16. na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.

17. Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;

18. na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.

19. Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;

20. na Elienai, na Silethai, na Elieli;

21. na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.

22. Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;

23. na Abdoni, na Zikri, na Hanani;

24. na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;

25. na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.

26. Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;

27. na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu.

28. Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.

29. Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;

1 Nya. 8