1 Nya. 8:10-23 Swahili Union Version (SUV)

10. na Yeusi, na Shakia, na Mirma. Hao ndio wanawe, wakuu wa mbari za baba zao.

11. Naye alikuwa amezaliwa na Hushimu, Abitubu, na Elpaali.

12. Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;

13. na Beria, na Shema, waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Aiyaloni, wale ambao waliwakimbiza wenyeji wa Gathi.

14. Na Ahio, na Ghashaki, na Yeremothi;

15. na Zebadia, na Aradi, na Ederi;

16. na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.

17. Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;

18. na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.

19. Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;

20. na Elienai, na Silethai, na Elieli;

21. na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.

22. Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;

23. na Abdoni, na Zikri, na Hanani;

1 Nya. 8