1 Nya. 7:31-40 Swahili Union Version (SUV)

31. Na wana wa Beria; Heberi, na Malkieli, aliyekuwa babaye Birzaithi.

32. Na Heberi akamzaa Yafleti, na Shomeri, na Hothamu, na umbu lao, Shua.

33. Na wana wa Yafleti; Pasaki, na Bimhali, na Ashvathi. Hao ndio wana wa Yafleti.

34. Na wana wa Shomeri; Ahi, na Roga, na Yehuba, na Aramu.

35. Na wana wa nduguye Helemu; Sofa, na Imna, na Sheleshi, na Amali.

36. Wana wa Sofa; Sua, na Harneferi, na Shuali, na Beri, na Imra;

37. na Bezeri, na Hodu, na Shama, na Shilsha, na Ithrani, na Beera.

38. Na wana wa Yetheri; Yefune, na Pispa, na Ara.

39. Na wana wa Ula; Ara, na Hanieli na Risia.

40. Hao wote ndio wana wa Asheri, wakuu wa mbari za baba zao, watu wateule, hodari wa vita, wakuu wa mashehe. Na hesabu yao waliojumlishwa kwa vizazi vyao kwenda vitani walikuwa watu ishirini na sita elfu.

1 Nya. 7