30. Wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na umbu lao, Sera.
31. Na wana wa Beria; Heberi, na Malkieli, aliyekuwa babaye Birzaithi.
32. Na Heberi akamzaa Yafleti, na Shomeri, na Hothamu, na umbu lao, Shua.
33. Na wana wa Yafleti; Pasaki, na Bimhali, na Ashvathi. Hao ndio wana wa Yafleti.
34. Na wana wa Shomeri; Ahi, na Roga, na Yehuba, na Aramu.
35. Na wana wa nduguye Helemu; Sofa, na Imna, na Sheleshi, na Amali.
36. Wana wa Sofa; Sua, na Harneferi, na Shuali, na Beri, na Imra;