71. Na wana wa Gershoni wakapewa, katika jamaa ya nusu-kabila ya Manase; Golani katika Bashani pamoja na viunga vyake, na Ashtarothi pamoja na viunga vyake;
72. na katika kabila ya Isakari; Kishioni pamoja na viunga vyake, na Daberathi pamoja na viunga vyake;
73. na Remethi pamoja na viunga vyake, na En-gaminu pamoja na viunga vyake;
74. na katika kabila ya Asheri; Mishali pamoja na viunga vyake, na Abdoni pamoja na viunga vyake;
75. na Helkathi pamoja na viunga vyake, na Rehobu pamoja na viunga vyake;