1 Nya. 6:37-41 Swahili Union Version (SUV)

37. mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora;

38. mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.

39. Na nduguye Asafu, aliyesimama upande wake wa kuume, huyo Asafu alikuwa mwana wa Berekia, mwana wa Shimea;

40. mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya;

41. mwana wa Yeatherai, mwana wa Zera, mwana wa Ido;

1 Nya. 6