1 Nya. 6:36-46 Swahili Union Version (SUV)

36. mwana wa Elkana, mwana wa Shauli, mwana wa Uzia, mwana wa Urieli;

37. mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora;

38. mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.

39. Na nduguye Asafu, aliyesimama upande wake wa kuume, huyo Asafu alikuwa mwana wa Berekia, mwana wa Shimea;

40. mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya;

41. mwana wa Yeatherai, mwana wa Zera, mwana wa Ido;

42. mwana wa Yoa, mwana wa Zima, mwana wa Shimei;

43. mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.

44. Na upande wa kushoto ndugu zao, wana wa Merari; Ethani, mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki;

45. mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia;

46. mwana wa Amzi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri;

1 Nya. 6