1 Nya. 4:9 Swahili Union Version (SUV)

Naye Yabesi alikuwa mwenye heshima kuliko nduguze; na mamaye akamwita jina lake Yabesi, akisema, Ni kwa sababu nalimzaa kwa huzuni.

1 Nya. 4

1 Nya. 4:1-10