1 Nya. 4:28-32 Swahili Union Version (SUV)

28. Nao wakakaa huko Beer-sheba, na Molada, na Hasar-shuali;

29. na huko Bilha, na Esemu, na Toladi;

30. na huko Bethueli, na Horma, na Siklagi;

31. na huko, Beth-markabothi, na Hasar-susimu, na Bethbiri, na Shaaraimu. Hiyo ndiyo miji yao hata wakati wa kumiliki Daudi.

32. Na vijiji vyao vilikuwa Etamu, na Aini, na Rimoni, na Tokeni, na Ashani, miji mitano,

1 Nya. 4