1 Nya. 4:26-29 Swahili Union Version (SUV)

26. Na wana wa Mishma; mwanawe huyo ni Hamueli, na mwanawe huyo ni Zakuri, na mwanawe huyo ni Shimei.

27. Naye Shimei alikuwa na wana wa kiume kumi na sita, na wana wa kike sita; walakini nduguze walikuwa hawana watoto wengi, tena jamaa yao yote haikuongezeka sana kwa mfano wa wana wa Yuda.

28. Nao wakakaa huko Beer-sheba, na Molada, na Hasar-shuali;

29. na huko Bilha, na Esemu, na Toladi;

1 Nya. 4