1 Nya. 4:18 Swahili Union Version (SUV)

Na mkewe Myahudi akawazaa Yeredi, babaye Gedori, na Heberi, babaye Soko, na Yekuthieli, babaye Zanoa. Na hawa ndio wana wa Bithia, binti Farao, ambaye Meredi alimwoa.

1 Nya. 4

1 Nya. 4:15-25