1 Nya. 4:13-16 Swahili Union Version (SUV)

13. Na wana wa Kenazi; Othnieli, na Seraya; na wana wa Othnieli; Hathathi.

14. Na Meonothai akamzaa Ofra; na Seraya akamzaa Yoabu, babaye bonde la Wakarashi; kwani hao walikuwa mafundi.

15. Na wana wa Kalebu, mwana wa Yefune; Iru, na Ela, na Naamu; na wana wa Ela; na Kenazi.

16. Na wana wa Yehaleleli; Zifu, na Zifa, na Tiria, na Asareli.

1 Nya. 4