13. Na wana wa Kenazi; Othnieli, na Seraya; na wana wa Othnieli; Hathathi.
14. Na Meonothai akamzaa Ofra; na Seraya akamzaa Yoabu, babaye bonde la Wakarashi; kwani hao walikuwa mafundi.
15. Na wana wa Kalebu, mwana wa Yefune; Iru, na Ela, na Naamu; na wana wa Ela; na Kenazi.
16. Na wana wa Yehaleleli; Zifu, na Zifa, na Tiria, na Asareli.