1 Nya. 27:7 Swahili Union Version (SUV)

Akida wa nne wa mwezi wa nne alikuwa Asaheli, nduguye Yoabu, na Zebadia mwanawe baada yake; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.

1 Nya. 27

1 Nya. 27:3-10