1 Nya. 27:24 Swahili Union Version (SUV)

Yoabu, mwana wa Seruya, akaanza kuhesabu, lakini hakumaliza; na ghadhabu ikawapata Israeli kwa hayo; wala haikuhesabiwa hesabu hiyo ndani ya taarifa za mfalme Daudi.

1 Nya. 27

1 Nya. 27:16-26