1 Nya. 27:12 Swahili Union Version (SUV)

Akida wa kenda wa mwezi wa kenda alikuwa Abiezeri, Mwanathothi, wa Wabenyamini; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.

1 Nya. 27

1 Nya. 27:6-16