1 Nya. 27:10 Swahili Union Version (SUV)

Akida wa saba wa mwezi wa saba alikuwa Heksi, Mpeloni, wa wana wa Efraimu; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.

1 Nya. 27

1 Nya. 27:1-11