9. Kura ya kwanza ikamtokea Yusufu, kwa Asafu; ya pili Gedalia; yeye na nduguze na wanawe, kumi na wawili;
10. ya tatu Zakuri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
11. ya nne Seri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
12. ya tano Nethania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
13. ya sita Bukia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
14. ya saba Asharela, wanawe na nduguze, kumi na wawili;