1 Nya. 25:9-14 Swahili Union Version (SUV)

9. Kura ya kwanza ikamtokea Yusufu, kwa Asafu; ya pili Gedalia; yeye na nduguze na wanawe, kumi na wawili;

10. ya tatu Zakuri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

11. ya nne Seri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

12. ya tano Nethania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

13. ya sita Bukia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

14. ya saba Asharela, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

1 Nya. 25