1 Nya. 25:21-31 Swahili Union Version (SUV)

21. ya kumi na nne Matithia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

22. ya kumi na tano Yeremothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

23. ya kumi na sita Hanania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

24. ya kumi na saba Yoshbekasha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

25. ya kumi na nane Hanani, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

26. ya kumi na kenda Malothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

27. ya ishirini Eliatha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

28. ya ishirini na moja Hothiri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

29. ya ishirini na mbili Gidalti, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

30. ya ishirini na tatu Mahaziothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

31. ya ishirini na nne Romanti-ezeri, wanawe na nduguze, kumi na wawili.

1 Nya. 25