1 Nya. 25:12-24 Swahili Union Version (SUV)

12. ya tano Nethania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

13. ya sita Bukia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

14. ya saba Asharela, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

15. ya nane Yeshaya, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

16. ya kenda Matania wanawe na nduguze, kumi na wawili;

17. ya kumi Shimei, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

18. ya kumi na moja Uzieli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

19. ya kumi na mbili Hashabia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

20. ya kumi na tatu Shebueli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

21. ya kumi na nne Matithia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

22. ya kumi na tano Yeremothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

23. ya kumi na sita Hanania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

24. ya kumi na saba Yoshbekasha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;

1 Nya. 25