1 Nya. 21:29 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana ile maskani ya BWANA, aliyoifanya Musa jangwani, na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, vilikuwapo wakati huo mahali pa juu pa Gibeoni.

1 Nya. 21

1 Nya. 21:26-30